They say love of a parent to a child is pure, and this has been proved by Diamond Platnumz’ express complaint towards his beloved mother, in the face of the world; due to her manifest detestation of Hamisa Mobetto and her son Dee Daylan.

Daylan, Hamisa’s child, who was born at a time when Diamond was in a stable relationship with Zari, didn’t come as very good news for Mama Dangote; who clearly wanted her son to marry Zari.

Sneaking to the labor ward, Bi Sandrah asked Hamisa not to make the issue public, and she vowed that they would ensure the newborn gets the required child support, but to her disappointment, the model went on to invite media houses to interview her; which put Diamond’s relationship with Zari in shambles.

It is therefore understandable that Mama Dangote hates Hamisa, and the rumor that she recently beat her up and pull off her wig isn’t shocking either, but her continued sidelining of her grandson angers fans, and the father of the child finally revealed it hurts him too. He complained to her in an Instagram post, which was initially a thank-you message to his mom for her birthday.

I can't Stop Wishing you Happy Birthday Mom… Coz i Love you So Much, na Najua kias gani pia Unanipenda Mwanao, Unanipenda kias kwamba hata Unachukia yoyote anaejaribu kufanya kitu cha kuniharibia Katika Maisha Yangu…Utanilinda na kunitetea Hata kama pengine mgomvi nilikuwa ni mimi Mwanao, ila you will always be on my side……Katika Kusheherekea siku yako hii kuu ya kuzaliwa, ningeomba Pia, kama Unipendavyo Mwanao pia Uwapende wajukuu zako wote, kwani ni wadogo na Hawana hatia wala hawajui chochote…Najua wakati mwingine wazazi wao wanakukwazaga sana, kutokana na Issue zetu Binafsi za mimi na wao kukuingiza wewe ama kukuletea lawama wewe ilhali maskini ya Mungu hata napowatoaga hujui, unaonaga tu na wewe ghafla niko na flani…. na kwa umri nilofikia hata kama hupendezwi kias gani, ila huwezi nichapa viboko ama kunicontrol kuwa eti kwanini niko na fulani….hivyo ni kosa langu mimi binafsi ila wao wanatakaga kukupa lawama kama wewe jaji wa mahusiano yangu… ila kwa Upendo wako kwangu naomba Unisamehe mie kwani ndie Chanzo cha Hayo yote… na Uwapende Wajukuu zako wote kwani ni watoto na hawajui chochote…..Na wakukwazapo Wazazi wao Wakuwahukumu wao hata wakitumia ngao ya watoto kukukwaza…….Watu wa Mitandaoni watasheherekea na kuunda timu kwa faida za Mam za watotoila si kwa faida za watoto maana hakuna hata mkoja alowai nichangia hata ela ya pempaz kwanhawa watoto, na wakimaliza kuchonganisha familia yetu kupitia mitandao, wao wanarudi makwao kukaa na nafamilia zao huku weww wnakutengenezea matabaka katika familia yao…..Mama angu kipenzi familia nilokuletea Mwanao ni @deedaylan @princess_tiffah @princenillan , hao ndio familia yako tokea kwangu, na siku nikioa huyo ndio atakuwa mwengine kwenye Famiia….. Nakupenda sana na Nakutakia Maisha maref yenye furaha na Afya Tele Mama????@mama_dangote????

A post shared by Chibu Dangote (@diamondplatnumz) on